Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Thursday, March 20, 2014

MKUTANO WA JUMUIYA YA WATANZANIA ROMA TAREHE 15 MACHI 2014

Wanajumuiya wa Jumuiya ya Watanania Roma, siku ya jumamosi tarehe 15 Machi walikutana kwenye Restaurant ya Kihindi iliyopo maeneo ya Termini kujadiri mwenendo mzima wa Jumuiya ikiwemo michango, urekebishwaji wa katiba, na zaidi kumshukuru na kumuaga Mr. Emsofi Meena ofisa wa ubalozi wa Tanzani Italy, aliyemaliza muda wake wa kazi ubalozini, kwa  kuwa sambamba na Jumuiya tangu pale ilipoanzishwa! Mr. Meena alikuwa kama mlezi wa jumuiya maana alitupa mawazo ambayo yametusaidia kwa kiasi kikubwa kuimalisha Jumuiya yetu.  Mwenyekiti aliwashukuru pia wanajumuiya kwa kuonyesha ushirikiano wao wa dhati, kwenye misiba inayowapata Watanzania hapa nchini Italia na kuwaomba wandelee na moyo huo pale panapokuwa na matatizo mengine. Mwenyekiti pia aliwashukuru wanajumuia wote kwa michango yao ya kila mwezi ambayo ndio inafanya jumuiya iwepo pale ilipo sasa.  Katibu kwa upande wake  aliwashukuru wanajumuiya kwa ujumla kwa ushirikino wao na kuwaomba waendelee na moyo wa kujitoa kwa wengine na kuendelea kuonyesha ushirikiano pale viongozi wanapowatafuta.

Kikao kijacho kitakuwa tarehe29 Machi 2014, kwenye Restaurant ya wahindi maeneo ya Termini. Karibuni sana.



 

No comments:

Post a Comment