Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome,Int.34P, Via Gorgona 48, 00139 Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.
Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Tuesday, May 21, 2013

Sherehe ya Kumpongeza Mtoto Jesca Mbilinyi Yafana mjini Roma

Jesca Salvatory Mbilinyi ambaye ni mtoto wa Ofisa utawala wa ubalozi wa Tanzania Italy, jumamosi ya tarehe 18 Mei alipata komunio ya kwanza kwenye kanisa la Mtakatifu Susana.
Baada ya Misa takatifu, Jesca aliwakaribisha Watanzania kusherekea nae kwenye ukumbi uliopo maeneo ya La Storta. Sherehe ilipendeza sana na zaidi ilipambwa na ugeni wa muimbaji maarufu wa Bongo Flava Ommy Dimpoz. Mheshimiwa Balozi na Mama Balozi pia walikuwa miongoni mwa wageni kwenye sherehe hii. Jumuiya ya Napoli iliwakilishwa na Mwenyekiti wake Mheshimiwa Abdulrahamani A.Alli.


Jesca akiwa pamoja na familia yake kwenye kanisa la Mtakatifu Susana
Jesca akionyesha Zawadi ya Msalaba.
Jesca akionyeshe Cheti kutoka kwa Baba Mtakatifu Francesco.
Baba Nyirenda nae alikuwepo.
Keki ikiingizwa ukumbini
Na hii ndio keki 

Mdau Esther akimsaidia Jesca kukata Keki.
Msanii wa Bongo Flava Ommy Dimpoz akiingia Ukumbini.

Msanii Ommy Dimpoz akibadilishana mawili matatu na Mheshimiwa Balozi.
                                    
Picha ya Pamoja na Ommy Dimpoz

Mheshimiwa Balozi akitoa zawadi yake.

Mdau Esther akiwakilisha zawadi yake.

Ulifika Wakati wa Rhumba.
                  
Picha ya Pamoja

                                    

Tuesday, May 7, 2013

OMMY DIMPOZ KUPAGAWISHA WATANZANIA MJINI NAPOLI

Yule msanii wa muziki wa Kizazi kipya al maarufu kwa jina la Ommy Dimpoz, jumamosi hii tarehe 11/05/2013 atapiga show yake ya kufa mtu mjini Napoli. Maelezo ya Show hiyo yapo hapo juu kwenye poster ya Tangazo! Watanzania wote nchini Italy Mnakaribishwa sana! Kwa maelezo zaidi mnaweza kunitafuta hapa 3479094800.

Sunday, April 28, 2013

WATANZANIA MJINI ROMA WAJUMUIkA KWA PAMOJA KWENYE AROBAINI ZA DADA ZUBENA JABIRI

Watanzania mjini Roma, Jana 27 Aprili 2013, walijumuika kwa pamoja kwenye Arobaini ya marehemu Zubena Jabiri. Shughuli nzima ilifanyika nyumbani kwa Mzee Jabiri, maeneo ya Cassia. Marehemu Zubena alifariki dunia nchini Tanzania, Dar-es-Salaam tarehe 16 March 2013. Waudhuliaji wa Shughuli nzima walikuwa  Balozi wa Tanzania Italy,  Mh. James Msekela, Mwenyekiti ya Jumuiya ya Watanzania nchini Italy, Mh. Abdulrahamani A.Alli, maofisa mbalimbali wa Ubalozi wa Tanzania nchini Italy,Viongozi na wajumbe wa Jumuiya ya Watanzania Rome pamoja na watanzania mbalimbali.






























Picha zote zimepigwa na Mr. Msemo, ofisi wa ubalozi wa Tanzania nchini Rome.

Friday, April 26, 2013

Sunday, April 14, 2013